VIDEOS

Historia fupi ya maisha ya Alikiba [ MAKALA ]


Bongo Fleva Mpya, Nyimbo mpya 2023, WCB Nyimbo Mpya, Bongo Fleva Mpya, Nyimbo mpya 2023, WCB Nyimbo Mpya, Zuchu Nyimbo Mpya Audio, Diamond Platnumz Nyimbo Mpya,   Stream and Download the latest new Songs released 2023 from your favorite Artists and enjoy Mp3 Music Audio and HD New Song Videos of different Styles such as Bongo flava, Hip Hop, Afrobeats, Kwaito, House, Amapiano, Gospel, Makossa & More. New from Tanzania and neighboring African countries too Xxltz media New Song 2023.And if you dont care, Please Share This WebSite To other people and other social networks.

Historia fupi ya maisha ya Alikiba [ MAKALA ]

Ali Saleh Kiba (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Kiba; pia:King Kiba; alizaliwa 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo chini ya lebo ya Rockstar4000.

Ali Kiba, Ni mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wanne, ambaye mdogo wake pia ni mwanamuziki wa Kitanzania.

Ana vipaji vilivyo tofauti na wasanii wenzake, hivyo amejikita sehemu nyingine kwa kusajiliwa na Coastal Union kucheza mpira wa miguu kwa msimu wa 2018/2019 wa Vodacom Premier League.


Mwaka 2011, Ali Kiba alichaguliwa kama “msanii wa kwanza wa Afrika Mashariki” – Tanzania, Kenya na Uganda. Kwa mwaka 2015 ameshinda tuzo tano za Kili awards.

Tarehe 20 Mei 2016, kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na muziki “Sony Music Entertainment” ilitangaza kumsainisha mkataba wa kufanya kazi na Ali Kiba.

BONYEZA HAPA KUPAKUA NYIMBO ZOTE MPYA

 

Share On:

TAGS:



CLICK HERE TO PROMOTE YOUR MUSIC/VIDEO
YOU MAY ALSO LIKE

0 Responses

Leave a Reply