VIDEOS

Mambo 7 ambayo utayapata ukila Mayai ( MAKALA )


Bongo Fleva Mpya, Nyimbo mpya 2023, WCB Nyimbo Mpya, Bongo Fleva Mpya, Nyimbo mpya 2023, WCB Nyimbo Mpya, Zuchu Nyimbo Mpya Audio, Diamond Platnumz Nyimbo Mpya,   Stream and Download the latest new Songs released 2023 from your favorite Artists and enjoy Mp3 Music Audio and HD New Song Videos of different Styles such as Bongo flava, Hip Hop, Afrobeats, Kwaito, House, Amapiano, Gospel, Makossa & More. New from Tanzania and neighboring African countries too Xxltz media New Song 2023.And if you dont care, Please Share This WebSite To other people and other social networks so. that they can be the first to get updates of new songs from inside and outside East Africa on your social accounts and keep visiting us for latest updates on Music and all Entertainment news from Tanzania,Nigeria Music,South Africa Music,Congo Music, and other African countries as well Nyimbo Mpya 2023.

Mambo 7 ambayo utayapata ukila Mayai ( MAKALA )

Mayai yana wingi wa protini,ni vizuri kutumia mayai kwa kujenga mwili wako. Haya ndio mambo yatakayo tokea katika mwili wako ukila mayai;

1. Inapunguza matatizo ya moyo
Japo mayai yanaweza kuongeza choresterol kwa baadhi ya watu ila utafiti unaonyesha ulaji wa mayai una uwezo mkubwa wa kufyeka hatari ya kupata matatizo ya mishipa ya moyo

2. Inaongeza Kinga ya mwili
Ukitaka uwe mbali na maambuki ya bacteria au virusi,tumia yai kwa kila mlo. Yai moja lina asilimia
22 ya RDA ya Selenium, virutubisho vinavyosaidia na kuongeza kinga ya mwili

3. Inarekebisha choresterol 
Mayai yanaweza kurekebisha mfumo wa choresterol. Mayai yana uwezo wa kuongeza HDL iliyo nzuri na inaongeza ukubwa wa chembe za LDL

4. Itakuongezea vitamins
Mayai yana asilimia 15 za RDA ya vitamini B2,pia inajulikana kama riboflavin. Itakusaidia kubadilisha chakula na kuwa mafuta ambayo itakusaidia kutengeneza nguvu.

5. Kurutubisha ngozi na nywele
B-complex vitamins vitaipa afya ngozi yako, nywele, macho na ini (zaidi ya B2,yai pia lina B5 na B12 Vitamin)

6. Inakinga Ubongo wako
Mayai ni chakula cha ubongo,hii ni kutokana na wingi wa virutubisho aina ya choline.

7. Ina imarisha Mifupa na Meno
Mayai yana vitamini D, ambayo ni muhimu kwa afya ya mifupa na meno.

BONYEZA HAPA KUPAKUA NYIMBO ZOTE MPYA

 

Share On:

TAGS:



CLICK HERE TO PROMOTE YOUR MUSIC/VIDEO
YOU MAY ALSO LIKE

0 Responses

Leave a Reply