Browse

Categories

Company

MBWANA SAMATTA AZIDI KUWASHA MOTO ULAYA,AFUNGA TENA TIMU YAKE IKISHINDA BAO 4

Posted On: April 2, 2017 By NYIMBO MPYA 2024
Stream and Download Nyimbo Mpya 2024 Bongo Fleva Mpya 2024 latest new Songs released 2024 from your favorite Artists and enjoy Mp3 Music Audio and HD New Song Videos of different Styles such as Bongo flava, Hip Hop, Afrobeats, Kwaito, House, Amapiano, Gospel, Zouk/Rhumba & More.

Download Nyimbo Mpya

PLAY
SHARE
   16

Screen-Shot-2017-04-01-at-11.11.53-PMLigi Kuu Ubelgiji imeendelea tena leo Jumamosi ya April 1 2017 kwa KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta kuikaribisha Lokeren katika mchezo wao wa kwanza wa play offs wa Kundi B wa Ligi Kuu Ubelgiji.Mbwana Samatta ambaye alikuwa katika kikosi cha kwanza cha KRC Genk kilichocheza dhidi ya Lokeren alifanikiwa kuisaidia timu yake ya KRC Genk kupata ushindi wa goli 4-0, Mbwana Samatta akifunga goli la pili dakika ya 72Screen-Shot-2017-04-01-at-11.11.35-PMGoli la kwanza la Genk lilifungwa na Pozuelo dakika ya 45, goli la tatu lilifungwa na Boetius dakika ya 77 la mwisho lilifungwa na Jose Naranjo aliyeingia dakika ya 84 akitokea benchi na kufunga goli dakika ya 90, ushindi huo umeifanya KRC Genk kuongoza Kundi B lenye timu sita kwa kuwa na magoli mengi.

More from MBWANA SAMATTA

Featured Artists  View All