Uncategorized

Awapa sumu na kuwaua watu 20 kwenye madhabahu Pakistan


Bongo Fleva Mpya, Nyimbo mpya 2023, WCB Nyimbo Mpya, Bongo Fleva Mpya, Nyimbo mpya 2023, WCB Nyimbo Mpya, Zuchu Nyimbo Mpya Audio, Diamond Platnumz Nyimbo Mpya,   Stream and Download the latest new Songs released 2023 from your favorite Artists and enjoy Mp3 Music Audio and HD New Song Videos of different Styles such as Bongo flava, Hip Hop, Afrobeats, Kwaito, House, Amapiano, Gospel, Makossa & More. New from Tanzania and neighboring African countries too Xxltz media New Song 2023.And if you dont care, Please Share This WebSite To other people and other social networks so. that they can be the first to get updates of new songs from inside and outside East Africa on your social accounts and keep visiting us for latest updates on Music and all Entertainment news from Tanzania,Nigeria Music,South Africa Music,Congo Music, and other African countries as well Nyimbo Mpya 2023.

_95424047_mediaitem95424046Familia za watu waliouawa Takriban watu 20 wameuawa na wengine kujeruhwia kwenye madhababu yaliyo mji wa Sargoda, mkoa wa Punjab nchini Pakistan.
Naibu kamishna wa polisi Liaquat Ali Chatta, alisema kuwa mshukiwa mkuu ni mhudumu wa madhabu hayo Abdul Waheed.
Manusura mmoja aliwaambia polisi kuwa bwana Waheed aliwaita wafuasi katika chumba chake mmoja baada ya mwingine, na kuwapa chakula kilichokuwa na sumu.
Yeye na wenzake kisha waliwaua watu hao kwa kuwapiga wakitumia vifaa.
Kisa hicho kilifichuliwa na mwanamke aliyekuwa amejeruhiwa katika hospitali iliyo karibu, ambaye alikuwa amefanikiwa kutoroka.
Mwana wa Osama bin Laden asakwa na Marekani
Iran yawanyonga ‘magaidi’ 20
Mashambulio Kashmir: India yadai kulipiza kisasi
Kisha polisi walifululiza kuenda eneo hilo na kumkamta bwana Waheed pamoja na watu wengine ambao wanaaminiwa kuwa washirika wake.
Sababu ya mauaji hayo haijulikani lakini polisi wanasema kuwa mshukiwa huyo alionekana kuwa na matatizo ya kiakili.
Abdula Waheed mweye umri wa miaka 50, amekiri kuwaua watu hao, kwa sababu alihofu kuwa walikuwa wameenda kumuua, kwa mujibu wa AFP

BONYEZA HAPA KUPAKUA NYIMBO ZOTE MPYA

 

Share On:



CLICK HERE TO PROMOTE YOUR MUSIC/VIDEO
YOU MAY ALSO LIKE

0 Responses

Leave a Reply