-
AUDIO AUDIO Young D ft Reekado Banks x Harmonize – Booty Work | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO Kobazzie – Call God | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO | Tunda Man – Tikinya | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO | Luigi Anywhere, Platform, Baby Drama, ARAK ZA, Dj Jowzee – Abasekho (Remix) | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO | Bushoke Ft TID – Chemistry | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO | Mdogo SAJENT – TAJIRI | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO | Eddy Kenzo – Balippila Boda | Download Mp3
-
Amapiano Music AUDIO | Oritse Femi Ft Aje Billz – Only Me | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO | Otega ft. Wale Turner – Lighters up | Download Mp3
-
AUDIO AUDIO | Portable – Micheal Jackson | Download Mp3

Ni lazima afikirie ajue kwamba gharama anazotoza sehemu nyingine ziwe tofauti na Tanzania, au azifanyie gharama hizo kampuni kubwa za mitandao ya simu na vinywaji lakini si mtu binafsi.
Mara nyingi amekuwa akisema huko nje analipwa zaidi ya milioni mia moja, je, ni halali hata kwa Watanzania wenzake waliomfanya kuwa hapo alipo kuwatoza kiasi hicho cha fedha huku huyo anayemchukua akitarajia shoo yake iingiwe na watu wa hali ya chini wenye kiu ya kumuona?
Labda Naseeb Abdul mwenyewe ndiye aliyelazimisha ada hii, kama si yeye bali ni mameneja wake (Salam na Tale) basi wanamshauri vibaya na matokeo yake kutofanya shoo nyumbani kwake (Tanzania) kutamfanya apoteze kupendwa na mashabiki sababu ya umbali alioutengeneza.
Ikumbukwe kwamba watu hununua bidhaa ya mtu wanayempenda, mtu akichukiwa na bidhaa zake hususiwa.
Diamond na WCB ni biashara ya Naseeb Abdul, hivyo basi Naseeb Abdul hatakiwi kuthamini sana fedha na kusahau mashabiki zake waliomfanya kuwa hapo alipo. Kifike kipindi awaeleze mameneja wake “HAPANA! TANZANIA NI NYUMBANI NA HAWA NI NDUGU ZANGU”
Basi kama waandaaji watashindwa kumudu gharama zake sababu Naseeb ni mfanyabiashara kama mimi, basi afanye shoo ya kujitolea (Charity show) kama tuliyofanya naye huko Tandale huko Mwanza, Kigoma, Mbeya, Arusha, Kilimanjaro kwenye viwanja kwa kiingilio cha shilingi 3000 na kisha fedha hizo azipeleke kusaidia watu wanaoishi kwenye mazingira magumu na hiyo itamfanya kupendwa na mashabiki na kumfanya kwenda juu kimuziki.
TOFAUTI NA HAPA, MBELE YAKE KUNA SHIMO, UKIMYA WAKE BILA SHOO NYUMBANI UTAMZAMISHA!! MWISHO.
» BONGO FLEVA ZA KITAMBO (TBT) – Click Here

» Diamond Platnumz - NYIMBO MPYA – Click Here

»ZUCHU - NNYIMBO MPYA – Click Here

» HARMONIZE - NYIMBO MPYA – Click Here
» WCB WASAFI - NYIMBO MPYA – Click Here
»NIGERIA - Songs – Click Here
»AMAPIANO - MUSIC – Click Here
BONYEZA HAPA KUPAKUA NYIMBO ZOTE MPYA
Share On:
CLICK HERE TO PROMOTE YOUR MUSIC/VIDEO